Mathayo 9:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na macho yao yakaanza kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaonya vikali: “Msimwambie yeyote jambo hili.”+ Mathayo 12:15, 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yesu alipojua jambo hilo, akaondoka hapo. Watu wengi wakamfuata,+ naye akawaponya wote, 16 lakini akawaagiza kwa kusisitiza wasimtangaze,+ Marko 7:35, 36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Ndipo masikio yake yakafunguliwa,+ na tatizo lake la kuzungumza likaisha, naye akaanza kuzungumza vizuri. 36 Kisha akawaamuru wasimwambie mtu yeyote,+ lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+
30 Na macho yao yakaanza kuona. Zaidi ya hayo, Yesu akawaonya vikali: “Msimwambie yeyote jambo hili.”+
15 Yesu alipojua jambo hilo, akaondoka hapo. Watu wengi wakamfuata,+ naye akawaponya wote, 16 lakini akawaagiza kwa kusisitiza wasimtangaze,+
35 Ndipo masikio yake yakafunguliwa,+ na tatizo lake la kuzungumza likaisha, naye akaanza kuzungumza vizuri. 36 Kisha akawaamuru wasimwambie mtu yeyote,+ lakini kadiri alivyowakataza, ndivyo walivyozidi kutangaza jambo hilo.+