Kumbukumbu la Torati 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Badala yake, ni kwa sababu Yehova anawapenda na alitimiza kiapo alichowaapia mababu zenu,+ ndiyo maana Yehova aliwatoa Misri kwa mkono wake wenye nguvu na kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa,+ kutoka katika nguvu za* Farao mfalme wa Misri. Yeremia 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kutoka mbali Yehova alinitokea na kusema: “Nimekupenda kwa upendo wa milele. Ndiyo sababu nimekuvuta kwangu kwa upendo mshikamanifu.*+
8 Badala yake, ni kwa sababu Yehova anawapenda na alitimiza kiapo alichowaapia mababu zenu,+ ndiyo maana Yehova aliwatoa Misri kwa mkono wake wenye nguvu na kuwakomboa kutoka katika nyumba ya utumwa,+ kutoka katika nguvu za* Farao mfalme wa Misri.
3 Kutoka mbali Yehova alinitokea na kusema: “Nimekupenda kwa upendo wa milele. Ndiyo sababu nimekuvuta kwangu kwa upendo mshikamanifu.*+