Yeremia 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anasema hivi: “Mababu zenu waliona kosa gani kwangu,+Hivi kwamba wakatangatanga mbali sana nami,Wakazifuata sanamu za ubatili,+ nao wenyewe wakawa ubatili?+ Hosea 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kiburi cha Waisraeli kimetoa ushahidi dhidi yao,+Lakini hawajamrudia Yehova Mungu wao,+Wala hawajamtafuta licha ya hayo yote. Mika 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Watu wangu, nimewafanya nini? Nimewachoshaje?+ Toeni ushahidi dhidi yangu.
5 Yehova anasema hivi: “Mababu zenu waliona kosa gani kwangu,+Hivi kwamba wakatangatanga mbali sana nami,Wakazifuata sanamu za ubatili,+ nao wenyewe wakawa ubatili?+
10 Kiburi cha Waisraeli kimetoa ushahidi dhidi yao,+Lakini hawajamrudia Yehova Mungu wao,+Wala hawajamtafuta licha ya hayo yote.