35 Hata walipokuwa kwenye ufalme wao wakifurahia wema mwingi uliowapa na katika nchi kubwa na yenye rutuba* uliyowapa, hawakukutumikia+ wala kuacha mazoea yao maovu.
4 “‘Msiwe kama baba zenu walioambiwa hivi na manabii wa kale: “Yehova wa majeshi anasema, ‘Tafadhali, geukeni* kutoka katika njia zenu ovu na matendo yenu maovu.’”’+
“‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunikazia uangalifu,’+ asema Yehova.