Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Hata walipokuwa kwenye ufalme wao wakifurahia wema mwingi uliowapa na katika nchi kubwa na yenye rutuba* uliyowapa, hawakukutumikia+ wala kuacha mazoea yao maovu.

  • Isaya 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana watu hawajarudi kwa Yule anayewapiga;

      Hawajamtafuta Yehova wa majeshi.+

  • Amosi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 ‘Lakini mimi niliyafanya meno yenu yawe safi bila chakula* katika majiji yenu yote

      Nikasababisha mkose mikate katika nyumba zenu zote;+

      Lakini hamkunirudia,’+ asema Yehova.

  • Zekaria 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “‘Msiwe kama baba zenu walioambiwa hivi na manabii wa kale: “Yehova wa majeshi anasema, ‘Tafadhali, geukeni* kutoka katika njia zenu ovu na matendo yenu maovu.’”’+

      “‘Lakini hawakusikiliza, wala hawakunikazia uangalifu,’+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki