Zekaria 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+ Wataliitia jina langu,Nami nitawajibu. Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+ Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”
9 Na theluthi hiyo moja nitaipitisha motoni;Nami nitawasafisha kama fedha inavyosafishwa,Na kuwajaribu kama dhahabu inavyojaribiwa.+ Wataliitia jina langu,Nami nitawajibu. Nitasema, ‘Wao ni watu wangu,’+ Nao watasema, ‘Yehova ni Mungu wetu.’”