Zaburi 115:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya mwanadamu.+ 5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+Zina macho, lakini haziwezi kuona;
4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya mwanadamu.+ 5 Zina kinywa, lakini haziwezi kuongea;+Zina macho, lakini haziwezi kuona;