Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wote hawatumii akili nao ni wajinga.+

      Mafundisho kutoka kwa mti ni udanganyifu* mtupu.+

  • Yeremia 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi.

      Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+

      Kwa maana sanamu yake ya chuma* ni uwongo,

      Nazo hazina roho* ndani yake.+

  • Waroma 1:21-23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye akiwa Mungu wala hawakumshukuru, bali walikuwa wajinga katika fikira zao na mioyo yao isiyo na ufahamu ikawa na giza.+ 22 Ingawa walidai wana hekima, wakawa wapumbavu 23 na kuugeuza utukufu wa Mungu asiyeweza kuharibika kuwa kitu kama sanamu ya mwanadamu anayeweza kuharibika* na ya ndege na viumbe wenye miguu minne na viumbe wanaotambaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki