-
Yeremia 10:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi.
-
-
Waroma 1:21-23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye akiwa Mungu wala hawakumshukuru, bali walikuwa wajinga katika fikira zao na mioyo yao isiyo na ufahamu ikawa na giza.+ 22 Ingawa walidai wana hekima, wakawa wapumbavu 23 na kuugeuza utukufu wa Mungu asiyeweza kuharibika kuwa kitu kama sanamu ya mwanadamu anayeweza kuharibika* na ya ndege na viumbe wenye miguu minne na viumbe wanaotambaa.+
-