Yeremia 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu? Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+ Matendo 17:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+
11 Je, taifa limewahi kubadili miungu yake kwa ajili ya miungu ambayo si miungu? Lakini watu wangu mwenyewe wamebadili utukufu wangu kwa ajili ya kitu kisicho na maana.+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+