18 Mnaweza kumlinganisha Mungu na nani?+
Mnaweza kumfananisha na nini?+
19 Fundi hutengeneza sanamu,
Mfua chuma huifunika kwa dhahabu,+
Naye huitengenezea mikufu ya fedha.
20 Huchagua mti fulani uwe mchango wake,+
Mti ambao hautaoza.
Humtafuta fundi stadi
Ili atengeneze sanamu ya kuchongwa ambayo haitaanguka.+