26“‘Msijitengenezee miungu ya ubatili+ wala sanamu ya kuchongwa+ au nguzo takatifu, nanyi msichonge sanamu ya mawe+ katika nchi yenu na kuiinamia;+ kwa maana mimi ni Yehova Mungu wenu.
15 “Kwa hiyo, jihadharini sana—kwa sababu hamkuona umbo lolote siku ambayo Yehova alizungumza nanyi kule Horebu kutoka katikati ya moto— 16 ili msitende upotovu kwa kujitengenezea sanamu ya kuchongwa yenye umbo la mfano wowote, mfano wa mwanamume au mwanamke,+
23 Iweni waangalifu msisahau agano la Yehova Mungu wenu ambalo alifanya pamoja nanyi,+ na msijitengenezee sanamu ya kuchongwa, umbo la kitu chochote mlichokatazwa na Yehova Mungu wenu.+
15 “‘Amelaaniwa mtu anayetengeneza sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya chuma,*+ kitu kinachomchukiza Yehova,+ kilichotengenezwa na mikono ya fundi,* na ambaye amekificha.’ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’*)
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+