4 “Usijitengenezee sanamu ya kuchongwa au mfano wa* kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani au kilicho ndani ya maji chini ya dunia.+
15 “‘Amelaaniwa mtu anayetengeneza sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya chuma,*+ kitu kinachomchukiza Yehova,+ kilichotengenezwa na mikono ya fundi,* na ambaye amekificha.’ (Na watu wote watasema, ‘Amina!’*)
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+