6 Hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+
Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu na lenye nguvu.
7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;
Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,
Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+