Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Farao akamwambia: “Kesho.” Basi Musa akasema: “Itakuwa kama unavyosema, ili ujue kwamba hakuna yeyote aliye kama Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 86:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hakuna yeyote aliye kama wewe kati ya miungu, Ee Yehova,+

      Hakuna kazi zilizo kama kazi zako.+

  • Yeremia 10:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Hakuna yeyote aliye kama wewe, Ee Yehova.+

      Wewe ni mkuu, na jina lako ni kuu na lenye nguvu.

       7 Ni nani asiyepaswa kukuogopa, Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana ni jambo linalofaa;

      Kwa sababu kati ya watu wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote,

      Hakuna yeyote yule aliye kama wewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki