Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Fundi hutengeneza sanamu,*

      Mfua chuma huifunika kwa dhahabu,+

      Naye huitengenezea mikufu ya fedha.

  • Isaya 41:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa hiyo fundi anamwimarisha mfua chuma;+

      Yule anayelainisha kwa nyundo ya chuma

      Anamwimarisha yule agongaye kwenye fuawe.

      Anasema hivi kuhusu lehemu: “Ni nzuri.”

      Kisha inapigiliwa misumari ili isianguke.

  • Yeremia 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana desturi za mataifa ni udanganyifu.*

      Ni mti tu wa msituni uliokatwa,

      Uliochongwa kwa mikono ya fundi kwa kifaa chake.*+

  • Hosea 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana ndama huyu ametoka Israeli.

      Fundi ndiye aliyemtengeneza, si Mungu;

      Ndama wa Samaria atavunjwa na kubaki vipandevipande.

  • Matendo 17:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni watoto* wa Mungu,+ hatupaswi kufikiri kwamba Mungu ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na ubunifu wa wanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki