Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 41:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kwa hiyo fundi anamwimarisha mfua chuma;+

      Yule anayelainisha kwa nyundo ya chuma

      Anamwimarisha yule agongaye kwenye fuawe.

      Anasema hivi kuhusu lehemu: “Ni nzuri.”

      Kisha inapigiliwa misumari ili isianguke.

  • Isaya 46:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kuna wale wanaomwaga dhahabu kwa wingi kutoka kwenye mikoba yao;

      Wanapima fedha katika mizani.

      Wanamwajiri mfua chuma, naye huitengeneza kuwa mungu.+

      Kisha wanasujudu, naam, wanaiabudu.*+

       7 Wanaiinua na kujitwika mabegani;+

      Wanaibeba na kuiweka mahali pake, nayo husimama papo hapo.

      Haiondoki mahali pake.+

      Wanaipazia sauti, lakini haiwajibu;

      Haiwezi kumwokoa yeyote kutoka katika taabu yake.+

  • Yeremia 10:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana desturi za mataifa ni udanganyifu.*

      Ni mti tu wa msituni uliokatwa,

      Uliochongwa kwa mikono ya fundi kwa kifaa chake.*+

       4 Wanaupamba kwa fedha na dhahabu+

      Wanaupigilia misumari kwa nyundo ili usianguke.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki