Zaburi 115:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Sanamu zao ni fedha na dhahabu,Kazi ya mikono ya mwanadamu.+ Isaya 40:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Fundi hutengeneza sanamu,*Mfua chuma huifunika kwa dhahabu,+Naye huitengenezea mikufu ya fedha.