6 Inueni macho yenu mbinguni,
Na mtazame chini duniani.
Kwa maana mbingu zitatawanyika vipandevipande kama moshi;
Nayo dunia itachakaa kama vazi,
Na wakaaji wake watakufa kama mbu.
Lakini wokovu wangu utadumu milele,+
Na uadilifu wangu hautashindwa kamwe.+