2 “Ole wao wanaopanga njama yenye kudhuru,
Wanaotunga maovu vitandani mwao!
Kunapopambazuka wanayatekeleza,
Kwa sababu wana uwezo wa kuyatekeleza.+
2 Wanatamani mashamba na kuyanyakua;+
Pia nyumba, na kuzichukua;
Wanamlaghai mtu na kuchukua nyumba yake,+
Wanachukua urithi wa mtu.