Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+

      Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+

      Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+

  • Isaya 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 utaisema methali* hii dhidi ya mfalme wa Babiloni:

      “Jinsi yule anayewalazimisha wengine kufanya kazi* alivyofikia mwisho wake!

      Jinsi ukandamizaji ulivyokwisha!+

  • Ufunuo 17:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Alikuwa ameandikwa kwenye paji la uso wake jina la fumbo: “Babiloni Mkubwa, mama wa makahaba+ na wa machukizo ya dunia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki