Yeremia 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu watu wa nyumba ya Israeli na watu wa nyumba ya YudaWamenitendea kwa hila kabisa,” asema Yehova.+ Yeremia 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Laiti ningepata mahali ambapo wasafiri hulala nyikani! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao,Kwa maana wote ni wazinzi,+Kundi la watu wenye hila.
11 Kwa sababu watu wa nyumba ya Israeli na watu wa nyumba ya YudaWamenitendea kwa hila kabisa,” asema Yehova.+
2 Laiti ningepata mahali ambapo wasafiri hulala nyikani! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao,Kwa maana wote ni wazinzi,+Kundi la watu wenye hila.