Isaya 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hapana, hujasikia,+ hujajua,Na zamani masikio yako hayakuwa yamefunguliwa. Kwa maana ninajua kwamba wewe ni mwenye hila sana,+Nawe umeitwa mkosaji tangu ulipozaliwa.+ Yeremia 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mume wake* kwa hila, ninyi pia, enyi watu wa nyumba ya Israeli, mmenitendea kwa hila,’+ asema Yehova.” Hosea 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wamemsaliti Yehova,+Kwa sababu wamekuwa baba za wana wa kigeni. Sasa mwezi mmoja utawanyafua* pamoja na mafungu* yao. Hosea 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini wao, kama wanadamu tu, wamevunja agano.+ Wamenisaliti katika nchi yao.
8 Hapana, hujasikia,+ hujajua,Na zamani masikio yako hayakuwa yamefunguliwa. Kwa maana ninajua kwamba wewe ni mwenye hila sana,+Nawe umeitwa mkosaji tangu ulipozaliwa.+
20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mume wake* kwa hila, ninyi pia, enyi watu wa nyumba ya Israeli, mmenitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”
7 Wamemsaliti Yehova,+Kwa sababu wamekuwa baba za wana wa kigeni. Sasa mwezi mmoja utawanyafua* pamoja na mafungu* yao.