Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hapana, hujasikia,+ hujajua,

      Na zamani masikio yako hayakuwa yamefunguliwa.

      Kwa maana ninajua kwamba wewe ni mwenye hila sana,+

      Nawe umeitwa mkosaji tangu ulipozaliwa.+

  • Yeremia 3:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ‘Kwa kweli kama mke anavyomwacha mume wake* kwa hila, ninyi pia, enyi watu wa nyumba ya Israeli, mmenitendea kwa hila,’+ asema Yehova.”

  • Hosea 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wamemsaliti Yehova,+

      Kwa sababu wamekuwa baba za wana wa kigeni.

      Sasa mwezi mmoja utawanyafua* pamoja na mafungu* yao.

  • Hosea 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Lakini wao, kama wanadamu tu, wamevunja agano.+

      Wamenisaliti katika nchi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki