Isaya 48:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hapana, hujasikia,+ hujajua,Na zamani masikio yako hayakuwa yamefunguliwa. Kwa maana ninajua kwamba wewe ni mwenye hila sana,+Nawe umeitwa mkosaji tangu ulipozaliwa.+ Hosea 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yehova akaniambia: “Nenda tena, mpende mwanamke anayependwa na mwanamume mwingine na ambaye anafanya uzinzi,+ mpende kama Yehova anavyowapenda Waisraeli+ ingawa wanaabudu miungu mingine+ na kupenda keki za zabibu kavu.”* Hosea 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wamemsaliti Yehova,+Kwa sababu wamekuwa baba za wana wa kigeni. Sasa mwezi mmoja utawanyafua* pamoja na mafungu* yao.
8 Hapana, hujasikia,+ hujajua,Na zamani masikio yako hayakuwa yamefunguliwa. Kwa maana ninajua kwamba wewe ni mwenye hila sana,+Nawe umeitwa mkosaji tangu ulipozaliwa.+
3 Kisha Yehova akaniambia: “Nenda tena, mpende mwanamke anayependwa na mwanamume mwingine na ambaye anafanya uzinzi,+ mpende kama Yehova anavyowapenda Waisraeli+ ingawa wanaabudu miungu mingine+ na kupenda keki za zabibu kavu.”*
7 Wamemsaliti Yehova,+Kwa sababu wamekuwa baba za wana wa kigeni. Sasa mwezi mmoja utawanyafua* pamoja na mafungu* yao.