-
Hosea 1:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Yehova alipoanza kusema neno lake kupitia Hosea, Yehova alimwambia hivi Hosea: “Nenda, muoe mwanamke kahaba* na uzae watoto wa ukahaba,* kwa sababu nchi imeacha kabisa kumfuata Yehova kwa sababu ya ukahaba.”*+
3 Basi akaenda na kumwoa Gomeri binti ya Diblaimu, na Gomeri akapata mimba na kumzalia mwana.
-