16 Sasa Yehova akamwambia Musa hivi: “Tazama! Unakaribia kufa,* na watu hawa wataanza kufanya ukahaba wa kiroho pamoja na miungu ya kigeni inayowazunguka katika nchi wanayoenda.+ Wataniacha na kuvunja agano langu+ ambalo nimefanya pamoja nao.+
3Kisha Yehova akaniambia: “Nenda tena, mpende mwanamke anayependwa na mwanamume mwingine na ambaye anafanya uzinzi,+ mpende kama Yehova anavyowapenda Waisraeli+ ingawa wanaabudu miungu mingine+ na kupenda keki za zabibu kavu.”*