Zaburi 112:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye humwangazia mnyoofu kama nuru gizani.+ ח [Heth] Ni mwenye huruma* na mwenye rehema+ na ni mwadilifu. Isaya 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Watu waliokuwa wakitembea gizaniWameona nuru kuu. Na wale wanaokaa katika nchi ya kivuli kizito,Nuru imewaangazia.+ Luka 1:68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 “Asifiwe Yehova* Mungu wa Israeli,+ kwa sababu amewakumbuka watu wake na kuwaletea ukombozi.+ Luka 1:79 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 ili kuwapa nuru wale wanaokaa gizani na katika kivuli cha kifo+ na kuongoza hatua zetu kwenye njia ya amani.”
4 Yeye humwangazia mnyoofu kama nuru gizani.+ ח [Heth] Ni mwenye huruma* na mwenye rehema+ na ni mwadilifu.
2 Watu waliokuwa wakitembea gizaniWameona nuru kuu. Na wale wanaokaa katika nchi ya kivuli kizito,Nuru imewaangazia.+
79 ili kuwapa nuru wale wanaokaa gizani na katika kivuli cha kifo+ na kuongoza hatua zetu kwenye njia ya amani.”