Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye humwangazia mnyoofu kama nuru gizani.+

      ח [Heth]

      Ni mwenye huruma* na mwenye rehema+ na ni mwadilifu.

  • Isaya 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Watu waliokuwa wakitembea gizani

      Wameona nuru kuu.

      Na wale wanaokaa katika nchi ya kivuli kizito,

      Nuru imewaangazia.+

  • Luka 1:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 “Asifiwe Yehova* Mungu wa Israeli,+ kwa sababu amewakumbuka watu wake na kuwaletea ukombozi.+

  • Luka 1:79
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 ili kuwapa nuru wale wanaokaa gizani na katika kivuli cha kifo+ na kuongoza hatua zetu kwenye njia ya amani.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki