Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+—Wote wawili wanamchukiza Yehova. Malaki 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mmemchosha Yehova kwa maneno yenu.+ Lakini mnauliza, ‘Tumemchoshaje?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayetenda maovu ni mwema machoni pa Yehova, naye hupendezwa na mtu huyo,’+ au kwa kuuliza, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’”
15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+—Wote wawili wanamchukiza Yehova.
17 “Mmemchosha Yehova kwa maneno yenu.+ Lakini mnauliza, ‘Tumemchoshaje?’ Kwa kusema, ‘Kila mtu anayetenda maovu ni mwema machoni pa Yehova, naye hupendezwa na mtu huyo,’+ au kwa kuuliza, ‘Yuko wapi Mungu wa haki?’”