Kutoka 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Jiepushe kabisa na shtaka* la uwongo, na usimuue mtu asiye na hatia na pia mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.*+ 1 Wafalme 21:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo watu wawili miongoni mwa watu wasiofaa kitu wakaja na kuketi mbele yake, nao wakaanza kutoa ushahidi dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemtukana Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje ya jiji, wakamuua kwa kumpiga mawe.+ Isaya 5:22, 23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ole wao walio hodari katika kunywa divaiNa wanaume walio stadi katika kuchanganya vileo,+23 Wale wanaomwondolea mwovu hatia kwa rushwa+Na wanaomnyima haki mwadilifu!+
7 “Jiepushe kabisa na shtaka* la uwongo, na usimuue mtu asiye na hatia na pia mwadilifu, kwa maana sitamtangaza mwovu kuwa mwadilifu.*+
13 Ndipo watu wawili miongoni mwa watu wasiofaa kitu wakaja na kuketi mbele yake, nao wakaanza kutoa ushahidi dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema: “Nabothi amemtukana Mungu na mfalme!”+ Kisha wakamtoa nje ya jiji, wakamuua kwa kumpiga mawe.+
22 Ole wao walio hodari katika kunywa divaiNa wanaume walio stadi katika kuchanganya vileo,+23 Wale wanaomwondolea mwovu hatia kwa rushwa+Na wanaomnyima haki mwadilifu!+