Methali 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+—Wote wawili wanamchukiza Yehova. Waroma 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kuwa ghadhabu ya Mungu+ inafunuliwa kutoka mbinguni dhidi ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu ambao wanaikandamiza kweli+ kwa njia isiyo ya uadilifu, Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
15 Yeyote anayetangaza kwamba mwovu hana hatia na yeyote anayemshutumu mwadilifu+—Wote wawili wanamchukiza Yehova.
18 Kwa kuwa ghadhabu ya Mungu+ inafunuliwa kutoka mbinguni dhidi ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu ambao wanaikandamiza kweli+ kwa njia isiyo ya uadilifu,