Kumbukumbu la Torati 16:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu. Isaya 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+ Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+ Hawawatendei kwa haki mayatima,Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+ Mika 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+
19 Msipotoshe haki,+ msipendelee,+ wala kukubali rushwa, kwa maana rushwa hupofusha macho ya wenye hekima+ na hupotosha maneno ya waadilifu.
23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+ Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+ Hawawatendei kwa haki mayatima,Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+
11 Viongozi* wake huhukumu ili wapate rushwa,+Makuhani wake hufundisha ili wapate malipo,+Na manabii wake hufanya uaguzi* ili wapate pesa.*+ Na bado wanamwegemea Yehova,* wakisema: “Je, Yehova hayuko pamoja nasi?+ Hakuna msiba utakaotupata.”+