2 “‘Au mtu akigusa kitu chochote kisicho safi, iwe ni mzoga wa mnyama wa mwituni, mzoga wa mnyama wa kufugwa, au viumbe wanaoishi katika makundi makubwa,+ hatakuwa safi na atakuwa na hatia hata kama hajui jambo hilo.
23 “‘Wanapaswa kuwafundisha watu wangu tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu cha kawaida; nao watawafundisha tofauti kati ya kitu kisicho safi na kitu kilicho safi.+