Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Musa akamwambia Haruni: “Yehova amesema hivi: ‘Nitatakaswa miongoni mwa wale walio karibu nami,+ nami nitatukuzwa mbele ya watu wote.’” Haruni akanyamaza kimya.

  • Hesabu 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+

  • Hesabu 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Watatunza vyombo vyote+ vya hema la mkutano na kutimiza wajibu wao wa kuwatumikia Waisraeli kwa kufanya kazi za hema la ibada.+

  • Ezra 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, Mfalme Koreshi akaleta vyombo vya nyumba ya Yehova ambavyo Nebukadneza alikuwa amechukua huko Yerusalemu na kuviweka katika nyumba ya mungu wake.+

  • Ezra 8:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Makuhani na Walawi wakapokea fedha na dhahabu na vyombo walivyopimiwa, ili wavilete Yerusalemu kwenye nyumba ya Mungu wetu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki