Zaburi 135:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova hufanya kila jambo apendalo+Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote. Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+
10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+