Zaburi 110:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wako watajitoa kwa hiari katika siku ya jeshi lako.* Katika utakatifu wenye fahari, kutoka katika tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone ya umande. Mathayo 4:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Akawaambia: “Nifuateni, nami nitawafanya muwe wavuvi wa watu.”+ 20 Mara moja wakaziacha nyavu zao na kumfuata.+
3 Watu wako watajitoa kwa hiari katika siku ya jeshi lako.* Katika utakatifu wenye fahari, kutoka katika tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone ya umande.
19 Akawaambia: “Nifuateni, nami nitawafanya muwe wavuvi wa watu.”+ 20 Mara moja wakaziacha nyavu zao na kumfuata.+