10 Pia, Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo,+ ambao walishirikiana na Simoni wakashangaa. Lakini Yesu akamwambia Simoni: “Acha kuogopa. Kuanzia sasa utakuwa ukiwavua watu wakiwa hai.”+ 11 Basi wakazirudisha mashua kwenye nchi kavu, wakaacha kila kitu na kumfuata.+