Mathayo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Alipoenda mbele kidogo akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo.+ Walikuwa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.+ Marko 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+
21 Alipoenda mbele kidogo akawaona ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo.+ Walikuwa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakitengeneza nyavu zao, naye akawaita.+
19 Yesu aliposonga mbele kidogo akawaona Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, kwenye mashua wakitengeneza nyavu zao,+