Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ng’ombe anamjua vizuri aliyemnunua,

      Na punda anaijua vizuri hori ya mmiliki wake;

      Lakini Israeli hanijui,*+

      Watu wangu mwenyewe hawatendi kwa uelewaji.”

  • Yeremia 2:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Je, bikira anaweza kuyasahau mapambo yake,

      Na bibi harusi mavazi yake ya kifuani?*

      Lakini watu wangu wamenisahau mimi kwa siku zisizohesabika.+

  • Yeremia 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Wanaupinda ulimi wao kama upinde;

      Uwongo, badala ya uaminifu, umeenea nchini.+

      “Wanatoka uovu hadi uovu zaidi,

      Nao hawanisikilizi,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki