-
Isaya 66:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 Anayemchinja ng’ombe dume ni kama yule anayemuua mwanadamu.+
Anayemchinja kondoo ni kama yule anayevunja shingo ya mbwa.+
Anayetoa zawadi—kama damu ya nguruwe!+
Anayetoa toleo la ubani la ukumbusho+ ni kama yule anayebariki kwa maneno ya uchawi.*+
Wamechagua njia zao wenyewe,
Nao wanapenda* mambo yanayochukiza.
-