Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Je, mnaweza kuiba,+ kuua, kufanya uzinzi, kuapa kwa uwongo,+ kumtolea dhabihu* Baali,+ na kuifuata miungu mingine ambayo hamkuijua, 10 kisha mje na kusimama mbele zangu katika nyumba hii inayoitwa kwa jina langu na kusema, ‘Tutaokolewa,’ ilhali mnafanya mambo hayo yote yanayochukiza?

  • Ezekieli 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “‘Kwa sababu mmesema uwongo na maono yenu ni ya uwongo, mimi niko dhidi yenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki