Waefeso 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, pokeeni kofia ya chuma ya wokovu,+ na upanga wa roho, yaani, neno la Mungu,+ 1 Wathesalonike 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+
8 Lakini sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+