Isaya 59:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha akavaa uadilifu kama koti la vitaNa kofia ya chuma ya wokovu* juu ya kichwa chake.+ Alivaa nguo za kisasi kama mavazi yake+Na kujifunga bidii kama koti.* 1 Wathesalonike 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+
17 Kisha akavaa uadilifu kama koti la vitaNa kofia ya chuma ya wokovu* juu ya kichwa chake.+ Alivaa nguo za kisasi kama mavazi yake+Na kujifunga bidii kama koti.*
8 Lakini sisi tulio wa mchana, na tutunze akili zetu na kuvaa bamba la kifuani la imani na upendo na tumaini la wokovu kama kofia ya chuma+