Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yehova Mungu wa mababu zetu na asifiwe, ambaye alitia ndani ya moyo wa mfalme wazo la kuipamba nyumba ya Yehova iliyo Yerusalemu!+

  • Nehemia 2:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha nikamwambia mfalme: “Ukipenda, Ee mfalme, naomba nipewe barua niwapelekee magavana wa eneo lililo Ng’ambo ya Mto,*+ ili waniruhusu kupita hadi nifike Yuda salama salimini, 8 pia barua nimpelekee Asafu mtunzaji wa Bustani ya Mfalme,* ili anipe mbao za kujengea mihimili ya malango ya Ngome+ ya ile Nyumba* na kuta za jiji+ na nyumba nitakayoishi.” Basi mfalme akanipa barua hizo,+ kwa sababu mkono mwema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu.+

  • Isaya 49:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wafalme watakuwa watunzaji wako,+

      Na mabinti wao wa kifalme watakuwa walezi wako.

      Watakuinamia kifudifudi+

      Na kuyaramba mavumbi ya miguu yako,+

      Nawe utalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova;

      Wale wanaonitumaini hawataaibika.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki