18 Basi furahini na kushangilia milele kwa sababu ya vitu ninavyoumba.
Kwa maana tazama! ninaumba Yerusalemu kuwa sababu ya shangwe
Na watu wake kuwa sababu ya furaha.+
19 Nami nitashangilia kwa sababu ya Yerusalemu na kufurahi kwa sababu ya watu wangu;+
Sauti ya kulia na ya maombolezo kwa sababu ya taabu haitasikika tena ndani yake.”+