Isaya 58:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atakuongoza daimaNa kukushibisha* hata katika nchi iliyokauka;+Ataitia nguvu mifupa yako,Nawe utakuwa kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+Kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe. Yeremia 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Jicho langu litaendelea kuwatazama kwa faida yao, nami nitawarudisha katika nchi hii.+ Nitawajenga, nami sitawabomoa; nitawapanda, nami sitawang’oa.+ Amosi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,Nao hawatang’olewa tena kamweKutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.”
11 Yehova atakuongoza daimaNa kukushibisha* hata katika nchi iliyokauka;+Ataitia nguvu mifupa yako,Nawe utakuwa kama bustani iliyonyweshwa maji vizuri,+Kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.
6 Jicho langu litaendelea kuwatazama kwa faida yao, nami nitawarudisha katika nchi hii.+ Nitawajenga, nami sitawabomoa; nitawapanda, nami sitawang’oa.+
15 ‘Nitawapanda katika nchi yao,Nao hawatang’olewa tena kamweKutoka katika nchi yao ambayo nimewapa,’+ asema Yehova Mungu wenu.”