Yeremia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+ Yeremia 30:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova anasema hivi: “Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+Nami nitayahurumia makao yake. Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa. Yeremia 32:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nitafurahia kuwatendea mema,+ nami nitawapanda kwa uthabiti katika nchi hii,+ kwa moyo wangu wote na kwa nafsi* yangu yote.’”
10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+
18 Yehova anasema hivi: “Ninawakusanya mateka wa mahema ya Yakobo,+Nami nitayahurumia makao yake. Jiji litajengwa upya juu ya kilima chake,+Na mnara wenye ngome utasimama mahali pake panapofaa.
41 Nitafurahia kuwatendea mema,+ nami nitawapanda kwa uthabiti katika nchi hii,+ kwa moyo wangu wote na kwa nafsi* yangu yote.’”