Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tieni mundu, kwa maana mavuno yamekomaa.

      Teremkeni na kuyakanyaga, kwa maana shinikizo la divai limejaa.+

      Mitungi inafurika, kwa sababu uovu wao ni mwingi.

  • Ufunuo 14:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yule malaika akatia mundu wake katika dunia na kuukusanya mzabibu wa dunia, naye akautupa ndani ya shinikizo kubwa la divai la hasira ya Mungu.+ 20 Lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji, na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi umbali wa stadia 1,600.*

  • Ufunuo 19:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki