Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Nimelikanyaga pipa la divai nikiwa peke yangu.

      Hakuna mtu yeyote kutoka katika mataifa aliyekuwa pamoja nami.

      Niliendelea kuwakanyaga kwa hasira yangu,

      Nami niliendelea kuwakanyaga kwa ghadhabu yangu.+

      Mavazi yangu yalijaa madoa ya damu yao,

      Nami nimezichafua nguo zangu zote.

  • Ufunuo 14:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na bado malaika mwingine akatokea katika madhabahu naye alikuwa na mamlaka juu ya moto. Naye akamwambia kwa sauti kubwa yule aliyekuwa na mundu mkali: “Tia ndani mundu wako mkali ukusanye vishada vya mzabibu wa dunia, kwa sababu zabibu zake zimeiva.”+ 19 Yule malaika akatia mundu wake katika dunia na kuukusanya mzabibu wa dunia, naye akautupa ndani ya shinikizo kubwa la divai la hasira ya Mungu.+ 20 Lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji, na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi umbali wa stadia 1,600.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki