2 Mambo ya Nyakati 36:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Aliiteketeza kabisa nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaubomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye thamani.+ Isaya 64:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nyumba yetu ya* utakatifu na utukufu,*Ambamo mababu zetu walikusifu,Imeteketezwa kwa moto,+Na vitu vyote tulivyovithamini sana vimeharibiwa. Maombolezo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui amechukua hazina zake zote.+ Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.
19 Aliiteketeza kabisa nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaubomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye thamani.+
11 Nyumba yetu ya* utakatifu na utukufu,*Ambamo mababu zetu walikusifu,Imeteketezwa kwa moto,+Na vitu vyote tulivyovithamini sana vimeharibiwa.
10 Adui amechukua hazina zake zote.+ Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.