Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Aliiteketeza kabisa nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaubomoa ukuta wa Yerusalemu,+ akateketeza kwa moto minara yake yote yenye ngome, na kuharibu kila kitu chenye thamani.+

  • Isaya 64:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nyumba yetu ya* utakatifu na utukufu,*

      Ambamo mababu zetu walikusifu,

      Imeteketezwa kwa moto,+

      Na vitu vyote tulivyovithamini sana vimeharibiwa.

  • Maombolezo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Adui amechukua hazina zake zote.+

      Kwa maana ameona* mataifa yakiingia mahali pake patakatifu,+

      Watu ulioamuru wasiingie katika kutaniko lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki