Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+ Matendo 10:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ndipo Petro akaanza kuzungumza, akasema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ 35 lakini katika kila taifa mtu anayemwogopa na kutenda uadilifu anakubaliwa naye.+
3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
34 Ndipo Petro akaanza kuzungumza, akasema: “Kwa hakika ninaona kwamba Mungu hana ubaguzi,+ 35 lakini katika kila taifa mtu anayemwogopa na kutenda uadilifu anakubaliwa naye.+