Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mungu wetu atakuja na hawezi kunyamaza.+

      Mbele zake kuna moto unaoteketeza kabisa,+

      Na dhoruba kali inamzunguka pande zote.+

  • Zaburi 50:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ulipofanya mambo hayo, niliendelea kunyamaza,

      Kwa hiyo ukafikiri kwamba nitakuwa kama wewe.

      Lakini sasa nitakukaripia,

      Nami nitatangaza kesi yangu dhidi yako.+

  • Yeremia 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwanza, nitalipa kiwango kamili kinachostahili kosa lao na dhambi yao,+

      Kwa maana wameitia unajisi nchi yangu kwa mifano isiyo hai ya* sanamu zao zinazochukiza

      Nao wameujaza urithi wangu mambo yao yanayochukiza.’”+

  • Ezekieli 11:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘“Lakini kwa wale ambao mioyo yao imeazimia kuendelea kufanya mambo yao yanayochukiza na mazoea yao yanayochukiza, nitawaletea madhara ya njia yao juu ya kichwa chao,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki