Mambo ya Walawi 11:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, msimle nguruwe+ kwa sababu ana kwato zilizopasuka na kugawanyika lakini hacheui. Yeye si safi kwenu. 8 Msile kamwe nyama yao wala kugusa mizoga yao. Hao si safi kwenu.+ Isaya 65:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wanaketi kati ya makaburi,+Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*Wakila nyama ya nguruwe,+Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+
7 Pia, msimle nguruwe+ kwa sababu ana kwato zilizopasuka na kugawanyika lakini hacheui. Yeye si safi kwenu. 8 Msile kamwe nyama yao wala kugusa mizoga yao. Hao si safi kwenu.+
4 Wanaketi kati ya makaburi,+Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*Wakila nyama ya nguruwe,+Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+