Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia, msimle nguruwe+ kwa sababu ana kwato zilizopasuka na kugawanyika lakini hacheui. Yeye si safi kwenu. 8 Msile kamwe nyama yao wala kugusa mizoga yao. Hao si safi kwenu.+

  • Isaya 65:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wanaketi kati ya makaburi,+

      Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*

      Wakila nyama ya nguruwe,+

      Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki