Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Wanaketi kati ya makaburi,+

      Nao wanakaa usiku kucha mafichoni,*

      Wakila nyama ya nguruwe,+

      Na mchuzi wa vitu vichafu* umo katika vyombo vyao.+

  • Isaya 66:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Anayemchinja ng’ombe dume ni kama yule anayemuua mwanadamu.+

      Anayemchinja kondoo ni kama yule anayevunja shingo ya mbwa.+

      Anayetoa zawadi—kama damu ya nguruwe!+

      Anayetoa toleo la ubani la ukumbusho+ ni kama yule anayebariki kwa maneno ya uchawi.*+

      Wamechagua njia zao wenyewe,

      Nao wanapenda* mambo yanayochukiza.

  • Isaya 66:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Wale wanaojitakasa na kujisafisha ili waingie kwenye bustani*+ wakimfuata yule aliye katikati, wale wanaokula nyama ya nguruwe+ na vitu vinavyochukiza na panya,+ wote watafikia mwisho wao pamoja,” asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki